@Mtangazaji #Tozomiamalayasimu #Wizarayafedha #Tanzania -- Serikali ya Tanzania imetagaza marekebisho ya Kanuni za Tozo za Miamala ya Kielektroniki za Kutuma na Kutoa Fedha kwa Mwaka 2021, marekebisho hayo yamepunguza viwango vya tozo za miamala hiyo kwa asilimia 30.
Category
Show more
Comments - 0
Related videos for SERIKALI YA TANZANIA YAJA KIVINGINE TOZO MIAMALA YA SIMU: