@nasraabdallah8504 years agoMashaallah Allah akujaalie mwisho mwema kaka ang honger sn 💕💕💕🙏🤲👏👌kwanza umependeza sn kuwa muislam 41
@
@binthassancollection.63084 years agoTAKBIIR ALLAHU AKBAR ALLAHU AKBAR PONGEZI KWAKE KWA MAAMUZI MAZURI. KARIBU KTK UISLAMU MZEE BABA. 36
@
@kassimrajabu78054 years agoKaribu sana Shekhe..... Allah akufanyie wepesi in sha Allah. 26
@
@abdulazizimbwana15864 years agoMwenyezimungu amuongoze katka kila jambo 46
@
@clemkiz23764 years ago"SNS" deserves "4 Billion Views". Cz this chanel is more than chanel, it is "SNS" for sure 🙌👍. 11
@
@sabrinamohammed53784 years agoMashaAllah congratulations umezaliwa upya 16
@
@babyhamisi53314 years agoMashaAllah tabarakaAllah vizuri Sana, Allah amfanyie wepesi katika maisha yake 12
@
@zuleikhakhamis33034 years agoAllah amjalie mke mwema wa kila kitu ili apate kuijua dini zaidi na afaidike vizuri ktk dini ya kiislam tuseme amiin 6
@
@khamisshee51314 years agoMashaAllah mabruk Takbir Allahu Akbar 🇰🇪🇰🇪🇰🇪aka bachuchu mombasa 6
@
@zou74704 years agoMansh'allah akuongoze akupe mwisho mwema ufe ukiwa na shahad insh'allah 🙏🙏🙏 9
@
@aminamnyaruge85744 years agoKwanza niseme TAKBRIIIRAA.. Then Ben Pol amejiuliza ndoa za kikristo huwa hazivunjikagi na umri bado Mdogo hawezi kuishi bila mke ikabidi abadili dini ili apate ndoa Tena.. Mwenyezi Mungu amjalilie kila la kheri 59
@
@maryammdoe58014 years agoTAKBIIIIIIIIIR ALLAHU AQBAR Masha ALLAH benham karibu sana kaka yetu ktk dini ya hakki ma sha Allah ALLAHu akbar ALLAH akuongoze na atuongoze sote 1
@
@sofialion49254 years agoMashaallah Tabaraka Allah akuongoze akupe yalio kher yarab 4
@
@hatimahalikhamis13334 years agoMashalla shukran Sana kwa kujua ukweli
@
@alhaddajmohammed47684 years agoAmeingia ktk Uislamu aingie kikwelikweli kwamaana afuate sheria na mafundisho ya Allah S.W kupitia mtume Muhammad S.A.W, sushi na mkewe ktk maisha ya UchaMungu,azidi kuusoma Uislamu, ataraji maisha mema Akhera asifuate mali,now, sura, sifa/umaarufu kwa binadamu inshaAllah Allah azidi kuwaongoza. Washauri ndugu na marafiki na jamaa wa karibu ili waufahamu Uislamu maana Uislamu unapakwa matope sana. ...
@
@williamkavuta80664 years agoKachanganyikiwa huyooooooo! tena badilisha kila kitu! Yesu ana mtaji wa watu wengi sana 2
@
@boballymote75864 years agoMabrouk behnam karibu katika uislam ndugu Allah akufanyie wepesi kujua vizuri uislam na akuongoze kufata uislam unavyo taka sio kuislim amiin
@
@kassimchitseko92474 years agoMa Sha Allah. Allah Amuongoze zaidi na zaidi
@
@habibamahamed55874 years agomashallah ndoa yenu iwe ya kheri🤲🤲🤲Ameen 3
@
@mohammedrajabu74494 years agoMaashaaAllah kaka ben pol karibu ktk dini tukufu ya uisilam
@
@mwanahalimamwachili96794 years agoTAKBIR,ALLAH AKBAR, MAA SHAA ALLAH, MAA SHAA ALLAH, KARIBU SANA. 3
@
@fhvbvgkvgc80734 years agoMabrooq bro karibu, umezaliwa tena upya.
@
@hassanbabakesonia84044 years agoTaqbiiir... Karbu kaka, Allah akuongozee behnam 1
@
@khamoshmikidadi92624 years agoMaashallah mng azidi kukulinda n mahasidi karibu ktk uislam🙏
@
@aminamohamed99554 years agoMashaallah Mungu akupe afya njema ufe katika wiisilam
@
@mayasama1474 years agoTaqbiir kaka benard Paulo mtoto wa vingunguti mungu akufanyie wepesi uijue dini ulioiendea insha'Allah..
@
@zezezeze84084 years agomashaAllah tabaraka rahman.....Allah akuongoze ktk maisha yako
@
@binthkhamisi10974 years agoMasha Allah...mungu akujalia kwa kila la khery
@
@sgfdhaikuhusu60864 years agoMashallah takbir mungu akupe mwisho mwema umependeza hakika uislam ni vazi zuri
@
@abubakaryalmas76734 years agoKaribu sana brother katika uislamu, na natamani sana kuifahamu sababu ya kubadili dini
@
@aminamwanakombo20974 years agoMashaallah tabaraka allah mungu akujalie mwisho mwema 🙏🙏🙏
@
@myfetty19604 years agoMashallah mungu akusaidie kwenye kila zito kalibu kwenye dini ya haki
@
@hairumwinama18654 years agoAllah akupe kujitambua na kusimamia taratibu zake alizoziweka katika uislaam
@
@messaabbas83464 years agoMaashaaAllah ❤️❤️❤️❤️❤️may Allah protect you and guide you in new life to be A Muslim welcome to the Islamic 🥰🥰🥰
@
@alyebaby21074 years agomashallah Takbir welcome 2 Islamic from knya🇰🇪
@
@lameyajaff88814 years agoKaribu behnam allah akufanyie wepes inshaallah 7
@
@user-lt5hc4re2f4 years agoMasha allah masha Allah mashalla Allah tabark rahman masha Allah ya akhy Allah akuongezee ktk kila la kheryy (takbr, Allah huakbar)
@
@shamimhayat76374 years agoTakbeer Allah u akbar Allah guides whom he want 2
@
@lenoxbuhanza49264 years agoSimlaumu ila ajiandae kushuka na kupotea mazima kimuziki na yeye anajua kwamba wazazi wake ndio watakua wakwanza kukunja heri zote 4
@
@ligmmohd81124 years agoMungu alivyokuwa mwema,jamaa hapo yupo msafiiii amefutiwa madhambi yote yan akifa hapo peponiiiiiiii. 1
@
@hidayaking33834 years agoMashalla karibu sana kwenye dini ya kwe 🙏🙏🙏🙏🙏 nimefurahi sana
@
@husseiniddisalimbale81274 years agoDah hongera bro, maamuzi ambayo hutayajutia, mungu akuongoze, kitendo hicho kinafanya unafutiwa Dhabi zote ,now you like a new born ,dah mpaka natamani ufe coz utaenda straight to the heaven,
@
@rqiyaabdallah8404 years agoMashaallah Kari bu sana kaka Allah akuongoze
@
@mariamothman20004 years agoMashallah karibu Allah akufanyie wepesi
@
@leylamohamed99394 years agoKwa Waislam, Mwanaume akibadili dini au Mwanamke akibadili au wote wakibadili.. NDOA inabaki ile iliyofungwa.. Kwa Waislam kwetu iko hivyo. Ila kwa suala la Ben Paul kubadili dini inampasa wote na mkewe wabadili ila NDOA haivunjiki kwa sisi waislam.. NDOA ni ile moja unless wapeane talaka waachane for Good... na kila mtu awe na yake. ...
@
@mahadimatsawily58094 years agoMashallah! Mashallah! Allah akuongoze katika njia iliyo nyooka na atujaalie mwisho mwema.
@
@florabaruti80324 years agoMmekazaniania mashallaah mwenzenu anapotea akafie mbele na kutapatapa simbilis mkubwa huyu
@
@khadijasalum23024 years agoAlhamdulillah allah akufanyie wepesi ktk kuingia ktk uislam
@
@fatmaothmanally94164 years agoAllah akuongoze kaka angu karib katika uislam 😘
@
@salmaathuman91564 years agoKWANZA NASEMA BISMILAH MASHAA ALLAH TAKBIRIIIII ALLAHU AKIBAR KARIBU KAKA KATIKA DINI YETU MUNGU AZIDI KUKUONGOZA INSHAA ALLAH 🤲🤲🙏🙏🙏
@
@subiramohd18954 years agoAllwahu akbar umependeza sana kwa Allah na muone kano wako wa macho Allah atupe mwisho mwema
@
@tajjudinihaji27764 years agoAllah akupe maisha mazuri na ya furaha ..karibu katika dini ya haki ..Allah umfanya amtakae na umbadili amtakae so ukipata chance km hii usiichezee coz Allah ndo anajua zaidi akuna dini isipokua islam na kitabu ni Quran na kiongozi wetu ni rasul llah.swt ..soma fanya ibada Allah amekuchagua so dont push ur lucky ...
@
@sistertrashid24884 years agoALLAH AKBER KARIBU SANA MUNGU AKUONGOZE USHIKE DINI HASWAA NA UJIFUNZE QURAN INSHAALLAH
@
@djyondergigi10274 years agoMasha Allah subhana Allah Alhamdulliah 1
@
@marinamooh40554 years agoTakbiriii Allah Akbar MashaAllah Karibu Kwny Uislam
@
@alriyamy6134 years agoUmekanya jambo kubwa sana broo ktk maisha yko,Allah anakupenda ww,let away your super star status. Que Allah te abençoe
@
@ummyzee62474 years agoTakbir,Allah Akbar, yarabi mfanyie wepesi yarabi
@
@RandB_Channel4 years agoWatu wako wanachezeya ndoa kweli umefunga ndoa haijapita hata mwezi kisha leo hii ime vunjika daaaa huruma sana
@
@kadijajggf93674 years agoTakbir Allahu Akbaru MashaAllah🥰 karibu bro Benham
@
@dullydullahsenior7564 years agoMashaaAllah Allah amuongoze kabisaaaaa
@
@jasminjuma63904 years agoMasha allah tabarakallah karibu kwenye dini ya haqi
@
@cendrillonnam45494 years agoTakbir !!!! Allahu Akbar !!!! Welcome my brother ❤️🤍🤍🤍🤍❤️ 3
@
@fridajosephyusif43644 years agoAmebadili ili aoe tena kwa kiislam maana ukristo ni ndoa ni moja tu kuwa muislam lkn sio moyonii kwa ajili ya kitu
@
@swahilitherapytv38464 years agoALLAH AMDUMISHE KWENYE DINI YETU YA KIISLAMU, KWA HAKIKA AMEFANYA JAMBO KUBWA SANA, JITAHIDI KAKA UFE UKIWA MUISLAM ALLAH AMEKUONYESHA KHERY KUBWA SANA. TUFE SOTE TUKIWA WAISLAM. AMEEN
@
@mariamothman74044 years agoNeema maullah Alhamdhulillah Allah akufanyie wepesi☝
@
@ankalmzito25454 years agoTaakbiiiirrrr....Takbiiirrrr..Takbiiiirrrr Allaaaahu Akbarrrrr.......
Related videos for Ben Pol kubadilisha dini na kuwa Muislamu, ni uthibitisho kuwa ndoa yake na Anerlisa imevunjika:
ALLAHU AKBAR ALLAHU AKBAR
PONGEZI KWAKE KWA MAAMUZI MAZURI. KARIBU KTK UISLAMU MZEE BABA. 36
Takbir Allahu Akbar
🇰🇪🇰🇪🇰🇪aka bachuchu mombasa 6
Masha ALLAH benham karibu sana kaka yetu ktk dini ya hakki ma sha Allah ALLAHu akbar ALLAH akuongoze na atuongoze sote 1
Allah akuongoze
MashaAllah
Karibu Kwny Uislam
TUFE SOTE TUKIWA WAISLAM. AMEEN