@queenanita27764 years agoThis move is my favorite one i love it so much. 4
@
@michaelmbatayaanikanumbani60664 years agoKama una angalia hii mover uku unapitia coment kama mimi gonga lenk yako hapa. 42
@
@user-mm5tf7yn6p4 years agoNzuri saana mpaka le 6/5/2020tuko tunaiona. 7
@
@hirathsanayaniyusif64576 years agoWabong mnapend sana kukaa uchi shenz zenu. 8
@
@marygorret.nansie.90746 years agoGive us part two guys yani ltz amazing. 2
@
@youngmwema52665 years agoMovie nzur ila sio kwa kumbeba hvyo mwenzenu mlyemuokota. 4
@
@saibusprinah99795 years agoI really love it, big up guys lkn uyo baba, 2
@
@shamimomar57456 years agoIko wapi part siku nyingne msifanye ivi mnaleta movie mzima nmebaki kwa njia panda movie mzuri. 1
@
@montezelmuhsin90103 years agoUyo dem wa kupiga pc mweny anapend kuvaa miwan ya red anajiskia sana i say anyway congrats guys.
@
@jamilahjuma35524 years agoMovie nzuri na ubunifu wa kipekee, big up.
@
@daynamwatija73053 years agoJaman dada mpiga picha ni anasura mbaya hatar.
@
@gracelaulant35184 years agoMapoz yapicha sasa kama katuni wa maonyesho. 1
@
@jumaaomarijumaa23315 years agoShida ya matukio ya movie hayana mtiririko unaoeleweka hata kidogo. 1
@
@lucyibrahimu77746 years agoMsiwe mnarusha part moja kama pili haijakamilika n ushaur tyu coz mnakatisha mccmko. 1
@
@naomibenjamini20885 years agoNilijuatu japo sijajua aina gani ya kemikali tangu lini mtu unashika kemikali karibu na uso tena unajigusagusa. 1
@
@mummysfavourite33845 years agoBig uphuyu naye aliona wapi mtu achanganya kemikali kwa mikono mitupu halafu anashika macho. 1
@
@zainabmaulidi37716 years agoKabla sijaangalia inasaut kwanza maan nyie wabong mnawekag filam bila saut. 9
@
@manniermkambe61844 years agoMovie nzr sana zaman walkuwa wanaact vzr bt nowadays most of the movies so boring n annoying. 1
@
@hawaynatimam9825 years agoNajiuliza huko porini farida nguo kapata wap.
@
@ukhtysakinaa76646 years agoMovie tamu pongezi kwa wahusika iko sawa part 2 plz. 2
@
@hawaynatimam9825 years agoInavyoelekea wales na farida mtu na kakaake, lakin wanakukulana.
@
@avitusprince90795 years agoVizr parcho mwambaa muvi nzr coz muwe mnatumia kiswahili sisi wabongo saw ushauri wa bure na uyo Dada ambaye anadisia mwanzo wa muvi nilikua naye Leo kwake mungu _awabarik_sana .....Expand2
@
@sylviachonge41655 years agoI love the background music. Whats the name of thewolper my best actress. 3
@
@hajrarkuziwa7305 years agoSs maji yenyewe ya kuogelea mbona machafu ivyo.
@
@mrsmartgamingyt5946 years agoWhere is part 2 amakweli bongo movie soko imeyumba we need part 2 film nzuri ila no sehem ya pili kwanini jamani. 1
@
@lovjoyclaris12596 years agoSipendi kuangalia filamu nusa nusu nasbiri hadi nione part 2 ndio niangalie. 9
@
@user-qm2fw8pu4h6 years agoWe mtt unakaa kfua wazi unatft nn kwa dady. 2
@
@simonmoikhan3576 years agoKwanini mnatumia kiingereza kwenye muvi ya kiswahili, ongeeni kiswahili. 7
@
@esthermbilinyi94176 years agoWa bongo bwana wana kingereza cha kuunga mnaharibu movie kwani mkiongea kiswahili tu kuna nn? 7
@
@kimachoking66175 years agoHuyu naye na mapozi yake ya kupiga picha duh. 2
@
@khairatyhassan94945 years agoMmmh neno moja kiingereza kumi kiswahili hatari.
@
@rodgersmarcus65795 years agoHuo mziki niwakishamba afu sauti haipo lugha pia haijazingatiwa. 1
@
@aldshaghalamamahsbshshddhc2444 years agoWales sinikampendga ss mpk leo njo whtp tufahamian 9689267993.
@
@salijoreotz78275 years agoWhy u guys use english while u dont know how to speak it. Ongeyeni swahili siyo munaongea broken english u guys doesnt make sense. 2
@
@user-bo9yk6tc3c4 years agoSiwezi kuwa mzalendo kama kitu ni kibaya, huo utakuwa siyo uzalendo, ni unafiki. Kusema ukweli hii movie ni mbaya, kuanzia utunzi mpaka ujumbe. Visa havihusiani msituletee utoto kama huu. ...Expand1
@
@bijumakassim36976 years agoNisiwe mchoyo wa fadhila shukran kwenu yote mulio husika mume weza. 2
Related videos for Determination Part 1 - Jacklin Wolper, Patcho Mwamba (Official Bongo Movie):