Regina Daniel (24), mkazi wa Louxmanda anatuhumiwa kuwauwa Watoto wake watatu kwa kuwalisha maembe yenye sumu inayodhaniwa kuwa ya Panya
-
Kamanda wa Polisi Mkoani humo amethibitisha kutokea kwa tukio hilo ambapo amesema chanzo cha Mauaji hayo ni ugomvi wa kifamilia kati ya Regina na mume wake
#UKATALI
Category
Show more
Comments - 0
Related videos for MAMA MZAZI AMEUA WATOTO WAKE MWENYEWE KWA SUMU: